Jackson Mayanja kocha msaidizi wa simba kajiuzulu.
Kocha Msaidizi wa kikosi cha Simba Jackson Mayanja, leo amefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yake kutokana na kuitaji muda zaidi wakwenda kushughulikia mambo ya kifamilia.
Uongozi wa Simba umemruhusu kuweza kwenda kutatua matatizo ya kifamilia lakini pia imempatia baraka zote na kumtakia kila la kheri katika kazi yake ya kufundisha soka.
Uongozi wa Simba umemruhusu kuweza kwenda kutatua matatizo ya kifamilia lakini pia imempatia baraka zote na kumtakia kila la kheri katika kazi yake ya kufundisha soka.

Comments
Post a Comment