Lionel Messi awafikisha Argentina Kombe la Dunia 2018 Urusi

                       Lionel Messi awafikisha Argentina Kombe la Dunia 2018 Urusi






Lionel Messi alifunga mabao matatu na kuiwezesha Argentina kutoka nyuma ugenini dhidi ya Ecuador na kuwalaza 3-1 na kufuzu kwa michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi.

Comments

Popular posts from this blog

maombi na aina zake.

KUOKOLEWA KWA NEEMA