WATU WAKOSA MAHALI PA KUISHI CHUNYA
WATU WAKOSA MAHALI PA KUISHI CHUNYA
Zaidi ya nyumba 900 zimeteketezwa kwa moto na kusababisha kaya zipatazo 1000 kukosa mahali pa kuishi baada ya kamati ya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na wakala wa huduma za misitu nchini, TFS, kuendesha zoezi la kuwaondoa watu ambao wamevunja sheria kwa kuvamia na kuishi ndani ya hifadhi ya misitu ya asili iliyopo tarafa ya Kipembawe wilayani Chunya.

Comments
Post a Comment